Klabu za Msichana Amani kutoka Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma walifanya Tamasha la muziki katika vipengele vitatu, Nyimbo za Utamaduni, Ngonjera na Maigizo. Hizi ni baadhi ya picha kutoka katika Tamasha hilo. #MsichanaAmaniClub

Reply to this note

Please Login to reply.

Discussion

No replies yet.