Nguvu ya KUANZA

Unapoanza jambo lolote lile, inakusaidia kufuta dhana potofu ulizo nazo na nyingine za watu wakisema HUWEZI

Utakapoanza, unapata momentum ya kuendelea....

Watu wengi hawajaribu, wao husema HILI NI GUMU

Ukimuuliza ulifanya? Nakwambia HAPANA

Moja ya ushindi ni KUANZA

Kwasababu unaendelea kujifunza na kukua haraka, pia inakusaidia kuona Hatua inayofuata....

Jinsi unavyozidi kuendelea ndivyo unaona INAWEZEKANA

Unavyozidi zaidi UOGA NA HOFU KUSHINDWA vinaanza kuandoka na unaendelea kupata uzoefu na kujiamini

Sasa ANZA SASA kwanini?

Kwasababu unaanza kufungua fursa mbalimbali na kupata connections nyingi.

ANZA SASA utashangaa mambo magumu kumbe ni Kwa kuonekana tu lakini YANAWEZEKANA

Reply to this note

Please Login to reply.

Discussion

No replies yet.