Unahitaji vitu vinne tu ili uwe na furaha

1. Familia

2. Utimamu wa mwili

-Afya njema ya mwili na akili

3. Hekima (wisdom)

- maarifa kuhusu Mungu

- maarifa kuhusu mifumo ya maisha

4. Bitcoin

- ukishahold Bitcoin (au Cryptocurrency zingine) niamini Mimi hutakiwi kuwa stressed tena kuhusu uchumi wako

📌 Unakuwa umemaliza kila kitu hapo... 🥳!

Tutaanza kuachia uchambuzi wa coins mbalimbali hapa, mainly kwenye Bitcoin na Etherium...stay tuned,! 🔥

Kwetu sisi always ✍️ Sharing is Winning🏆

Reply to this note

Please Login to reply.

Discussion

No replies yet.