Kabisa kaka

nimenotice mtu akija Kenya ,kuishi Lazima akili ichangamke kwenye kutafuta si kama Tz akili za wengi zimelala

Reply to this note

Please Login to reply.

Discussion

Haha hapa ni mbio mbio wakenya tusha zoea kukimbia kama tu kipchoge 🏃‍♂️

ni nzuri sana ,nitakua nakuja sana kenya akili ichangamke zaidi