*Sikiliza Hii Kijana, Unaetaka Kupambania Mkate Wako Online*

➠ Hvi kwani ukienda kwenye interview ya kazi, unaweza fika pale na kusema kwamba mm nataka hii kazi kwa sababu nina njaa?

- Kosa kubwa kufanya ni muajiri kugundua kwamba unachotaka ni maokoto tu [Mshahara]

➠ Sikiliza hata mwajiri anataka aone value, utakayo add kwenye ofisi yake ikiwa watakuajiri, mshahara hua unazungumzwa mwishoni.

*Sasa, Kwanini Nimekwambia hivyo?*

➠ Ukiingia Online ni hvyo hvyo, ukitanguliza njaa ya maokoto mbele utachemsha.

*Learn how to give value. That's what people pay for.*

Jifunze kutoa value. Hicho ndicho watu hulipia, ndicho kitakachofanya ulipwe pesa unayotaka.

*Umenielewa?* 🥂

Reply to this note

Please Login to reply.

Discussion

No replies yet.