Nyumbani na mwanangu

Reply to this note

Please Login to reply.

Discussion

Leo nimeenda kutembelea nyumbani wazeee my young brother last born akalilia tishrt ikabidi mimpeee atest awe nafuraha πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Inamkalia vizuri! Lazima watoto pia wachangamke mapema wasiachwe nyuma kama wengine

Kabisa ndugu yangu

Vizuri sana kama utakua kwa home na ur kid

Mfundishe #bitcoin

Ata fikisha miezi tisa hivi karibuni ! Tayari ako na teddy ya orange ! Mambo mdogo tu 😁 #nostr #dadstr

Nakubali πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ‘πŸΌπŸ‘πŸΌπŸ‘πŸΌ