Unadhani kwanini waafrika wengi duniani hudhani kwamba #bitcoin ni utapeli .
Je wamekosa nini angalau wangepata mwanga zaidi nostr:npub1q6ps7m94jfdastx2tx76sj8sq4nxdhlsgmzns2tr4xt6ydx6grzspm0kxr
Unadhani kwanini waafrika wengi duniani hudhani kwamba #bitcoin ni utapeli .
Je wamekosa nini angalau wangepata mwanga zaidi nostr:npub1q6ps7m94jfdastx2tx76sj8sq4nxdhlsgmzns2tr4xt6ydx6grzspm0kxr
Many people around the world still believe that #bitcoin is a fraud.
The problem is that society, education and government put all our trust in institutions to the detriment of our freedom.
No nation has yet taught a man to be totally free.
Freedom is something to be taken, not given.
Maoni kuhusu Bitcoin hutofautiana kimataifa, na shaka katika maeneo fulani inaweza kutokana na ufahamu mdogo, sababu za kitamaduni. Kampeni za elimu na uhamasishaji zinaweza kusaidia kushughulikia dhana potofu na kukuza uelewa mzuri wa manufaa yanayoweza kutokea. Hivi basi ndio sababu nimechukua jukumu kuelimisha watu hapa nyumbani