Avatar
BITCOINSAFARITZ
59f0660b34dd48f9dfac5d973b77774a75af057ea3a261214ac5cdccd5d24440
Bitcoin Maxi , Founder of BitcoinsafariTz, Mentor , businessman, Hustler ,Tourism,bitcoin is freedom, Labtechnician , Multipurpose, Pay with bitcoin for vacation/ trip to Tanzania with bitcoin , onboard btc merchants in Tanzania , Freedom ,Nostr , explore the beautiful and nature of Tanzania 🇹🇿, chaggaboy ,Kilimanjaro my home land [marangu -kilema] ,Running Free Bitcoin Diploma Course using MI Primer Bitcoin Education syllabus in Tanzania 🇹🇿

Moja kati ya Ujuzi wa kuuza zaidi mtandaoni ni Pamoja na;

- Kutengeneza Dharura (Emergency); yaani unamtengeneza mteja Mazingira ya kufanya maamuzi hapo hapo.

Mfano;

Bei ya Bidhaa hii; 40,000/=

Leo utaipata kwa; 20,000/=

Okoa zaidi ya 20,000/= leo.

Ukimtengenezea Mazingira kama haya hachomoi.

Je uwa Uwa unawatengenezea Uharaka wateja Wako ?

*Cha Asubuhi* ✍🏿

Akili yako haitakuwa kama unafikiri uko sawa wakati wote.

*Soma Kwanza Hii Kabla ya Kuandika Tangazo Lako...*

Kama unahitaji Kuandika Tangazo Lenye kukuleta Mvua ya Wateja mtandaoni somo mpaka mwisho

Kama unahitaji kugeuza Tangazo lako Kuwa kariakoo au mlimani City makala hii ni zaidi ya zawadi kwako

Kwanza kabla ya Kuandika Tangazo lako

Unatakiwa ujue kwamba Tangazo lako Ndio mtu wako wa Mauzo

Unapoandika Tangazo lako hakikisha unajua kinachotatuliwa na bidhaa/huduma yako

Ili Tangazo Lako Likuletee Matokeo hakikisha Lina vitu Vifuatavyo...

1). Tatizo la Mteja

Elezea tatizo Lao vizuri na kwa ufasaha zaidi Kuliko wao wenyewe

Elezea tatizo lake kiasi kwamba akisoma mpaka aseme “Wow, huyu kweli ananijua na kunielewa”

Wateja hununua vitu kwasababu wamehisi wameeleweka kwa muuzaji sio kwasababu wameielewa bidhaa yako

Watu hununua zaidi vitu ili kutoka kwenye maumivu Kuliko kuingia kwenye raha

2). Faida za Vipengele vya Bidhaa/huduma yako

Hakuna anaenunua gari kwasababu ya vyuma vilivyomo ndani, watu hununua kile kinachofanywa na gari kwao

Uza faida za vipengele vya bidhaa yako na sio vipengele Kama Jinsi vilivyo (kosa la wengi hili)

3). Kichwa cha Habari (Headline)

Ukitaka Tangazo lako lisomwe hakikisha lina headline, Matangazo mengi online hayana headlines kabisa

Kwanini Headline ni muhimu Zaidi Kuliko kitu chochote kwenye Tangazo lako?

Kwasababu 60% ya wateja husoma headline tu

Wateja husoma headline Mara tano zaidi ya wanavyosoma Tangazo zima

4). Jibu Vipingamizi vyao juu ya Kile unachokiuza

Tangazo zuri lazima liwe na majibu ya vipingamizi Vyote vya wateja Juu ya Bidhaa/huduma

5). Waambie Jinsi ya kupata kile unachokiuza (Call to Action/CTA)

Wengi hukosa mauzo kisa tu hawajawaambia wateja Jinsi ya kupata bidhaa/huduma zao

Waambie wafanyaje ili wapate Bidhaa au huduma yako mwisho wa Tangazo lako

Digitalpreneur

*Cha Asubuhi* ✍🏿

Ni bora kurudi nyuma kuliko kuendelea kupotea zaidi kwa kuogopa kuanza upya.

Kudondoka sio vibaya, isipokuwa vibaya ni kudondoka na kusahau ulikuwa unaelekea wapi.

Ni pale ambapo utakubali kuwa umepotea ndipo pale ambapo utajua ipi ni njia sahihi ya kupita ili kufika uendapo.

*Jinsi ya kuacha kufikiria kupita kiasi?*

*Hizi ndo njia za kuacha kufikiria kupita Kiasi*

Kufikiria kupita kiasi kunaweza kuwa tabia yenye kudhoofisha ambayo inaweza kusababisha wasiwasi na mafadhaiko.

Hapa kuna vidokezo vya kusaidia kushinda kufikiria kupita kiasi:

✍ Fanya mazoezi ya kutafakari kwa uangalifu ili kukusaidia kukaa sasa na kulenga wakati uliopo.

✍ Changanua mawazo yako kwa kujiuliza kama ni ya kweli na kama kuna ushahidi wa kuyaunga mkono.

✍ Tenga muda wa kuwa na wasiwasi kila siku na ujiwekee muda huo tu.

✍ Jishughulishe na shughuli za mwili au vitu vya kufurahisha ili kusaidia kuvuruga akili yako kutoka kwa kuwaza kupita kiasi.

✍ Zungumza na rafiki unayemwamini au mtaalamu kuhusu maswala yako ili kupata mtazamo mpya.

Kumbuka, kuwaza kupita kiasi ni tabia inayoweza kuzuiwa kwa mazoea na kuendelea.

Kwa kufanya mazoezi ya kuzingatia na kupinga mawazo yako, unaweza kujifunza kuishi katika wakati uliopo na kuacha kufikiria kupita kiasi.

Shiriki ili Kuinua Wengine

Graysatoshi

*Vitu Vya kuzingatia wakati Unauza Bidhaa/ huduma...*

*Fahamu hivi wakati wa kuuza.*

1). Attention hufuata Attention, Sehemu ulipoweka umakini wako ndipo mteja wako pia atapoweka umakini wake

Ukiweka umakini kwake nayeye ataweka umakini kwako, ukiweka umakini kwenye Bidhaa/huduma yako, nayeye ataweka umakini kwenye hela yake

2). Overselling ndio adui mkubwa zaidi wa mauzo yako

Wateja hawataki kusikia zaidi ya vile wanavyotaka kuvisikia na wala hawajali chochote kuhusu wewe

Mteja akiuliza muda mtajie muda, hahitaji kujua jinsi ya kutengeneza saa

3). Usiwauzie Unachotaka kuuza, wauzie wanachotaka kununua

Wateja hawapendi Kuuziwa ila wanapenda kununua

4). Ni ngumu sana kuuza Bidhaa/huduma kwa mtu asiekujua

Kwenye mauzo huwa sio unamjua nani Bali ni nani anakujua wewe

5). Unachohitaji kukijua zaidi ni Watu kuliko kile unachokiuza aidha ni Bidhaa/huduma

Upo kwenye biashara ya watu sio Bidhaa/huduma

6). Usipompitisha mteja katika hatua kuu 3, tegemea kukutana na kipingamizi mwishoni

Ambazo ni Agenda step, Qualify step na Commitment step, usiruke hata moja zipo page # 41 kwenye kitabu cha H.E.L.A

7). Usiwauzie Wateja wako Bidhaa/huduma Bali wasaidie kununua

Ndio maana ni vigumu kuuza kama hujui maumivu ya mteja

8). Uhitaji kuwa mwongeaji sana ndio uwe muuzaji mzuri, unachohitaji ni kuwa muuliza maswali na msikilizaji mzuri

Ukifanya hivyo Wateja watakwambia wanataka kununua kitu gani na wanataka kuuziwaje

9). Anaenunuliwa ni muuzaji sio Bidhaa/huduma kwasababu 90% ya mauzo yanatokana na Sauti + Ishara za mwili na 10% tu yanatokana na maneno

10). Selling na Closing ni vitu viwili tofauti na havifanyiki kwa wakati mmoja

Unapofanya Selling unatakiwa uache kufanya closing na unapofanya closing unatakiwa uache kufanya selling nje na hapo unakosa vyote

11). Kifaa muhimu kuliko vyote kwenye mauzo ni Masikio sio mdomo

Wauzaji wazuri ni wasikilizaji wazuri sio waongeaji wazuri

Devan

Digitalpreneur__

*Vitu Vya kuzingatia wakati Unauza Bidhaa/ huduma...*

*Fahamu hivi wakati wa kuuza.*

1). Attention hufuata Attention, Sehemu ulipoweka umakini wako ndipo mteja wako pia atapoweka umakini wake

Ukiweka umakini kwake nayeye ataweka umakini kwako, ukiweka umakini kwenye Bidhaa/huduma yako, nayeye ataweka umakini kwenye hela yake

2). Overselling ndio adui mkubwa zaidi wa mauzo yako

Wateja hawataki kusikia zaidi ya vile wanavyotaka kuvisikia na wala hawajali chochote kuhusu wewe

Mteja akiuliza muda mtajie muda, hahitaji kujua jinsi ya kutengeneza saa

3). Usiwauzie Unachotaka kuuza, wauzie wanachotaka kununua

Wateja hawapendi Kuuziwa ila wanapenda kununua

4). Ni ngumu sana kuuza Bidhaa/huduma kwa mtu asiekujua

Kwenye mauzo huwa sio unamjua nani Bali ni nani anakujua wewe

5). Unachohitaji kukijua zaidi ni Watu kuliko kile unachokiuza aidha ni Bidhaa/huduma

Upo kwenye biashara ya watu sio Bidhaa/huduma

6). Usipompitisha mteja katika hatua kuu 3, tegemea kukutana na kipingamizi mwishoni

Ambazo ni Agenda step, Qualify step na Commitment step, usiruke hata moja zipo page # 41 kwenye kitabu cha H.E.L.A

7). Usiwauzie Wateja wako Bidhaa/huduma Bali wasaidie kununua

Ndio maana ni vigumu kuuza kama hujui maumivu ya mteja

8). Uhitaji kuwa mwongeaji sana ndio uwe muuzaji mzuri, unachohitaji ni kuwa muuliza maswali na msikilizaji mzuri

Ukifanya hivyo Wateja watakwambia wanataka kununua kitu gani na wanataka kuuziwaje

9). Anaenunuliwa ni muuzaji sio Bidhaa/huduma kwasababu 90% ya mauzo yanatokana na Sauti + Ishara za mwili na 10% tu yanatokana na maneno

10). Selling na Closing ni vitu viwili tofauti na havifanyiki kwa wakati mmoja

Unapofanya Selling unatakiwa uache kufanya closing na unapofanya closing unatakiwa uache kufanya selling nje na hapo unakosa vyote

11). Kifaa muhimu kuliko vyote kwenye mauzo ni Masikio sio mdomo

Wauzaji wazuri ni wasikilizaji wazuri sio waongeaji wazuri

Devan

Digitalpreneur__

*Kuna Cha Kujifunza Hapa...!*

Kondoo alikuwa anapita akamuona simba akilia akiwa amenasa kwenye boksi la chuma(grili)...simba akamsihi sana kondoo amuokoe na kumuahidi kuwa hatamuua wala kumla, lakini kondoo akakataa.... Baada ya simba kubembeleza sana na kwa upumbavu wa kondoo, akafungua lile boksi la chuma.

Sasa simba alikuwa na njaa kali mno baada ya kukaa kifungoni kwa siku kadhaa bila kula chakula... Mara moja alimrukia kondoo na kukaribia kumuua ili amle, lakini kondoo alimkumbusha kiapo chake.

Waliendelea kubishana hadi wanyama wengine waliokuwa wanapita wakauliza kulikoni? Basi simba na kondoo wote wakaelezea jinsi ilivyokuwa, lakini kwa hofu ya simba na kutaka kupata huruma machoni pa simba, wanyama wote wakamsapoti simba isipokuwa kobe ambaye alidai kuwa hakuelewa mazingira na stori yenyewe.

Sasa kobe akamuomba simba aoneshe mahali alipokuwa kabla ya kondoo kumuokoa, simba akamuonesha kobe kwa mguu wake wa mbele, pale... Kobe akamuuliza tena, "ulikuwa ndani ama nje kabla ya kondoo kuja??"...Simba akamjibu, "nilikuwa ndani".

Kobe akamuuliza tena simba, "sawa, embu ingia tena ili tuone jinsi ilivyokuwia vigumu kukaa ndani ya grili kwani sielewi stori hii yote vizuri"... Simba akaingia, na mara moja(chapu!), kobe akafunga lile boksi la chuma (grili)... Na simba sasa alikuwa amenasa tena!!_

Kwa mshangao mkubwa, wale wanyama wengine wakamuuliza kobe "Kwanini?" na kobe akawajibu..."Kama tukimruhusu simba amle kondoo leo, bado atasikia njaa tena kesho na hatujui kati yetu ni nani atakayeliwa kesho..!!"

HADITHI HII INATUFUNDISHA NINI?

Usiunge uovu mkono leo kwa vile haukuathiri moja kwa moja, kesho inaweza kuwa zamu yako.!!

tunahitaji kobe wengi zaidi katika jamii yetu.

Mi nimetaja tu wanyama hapa mjue hilo🤣🤣🤣

Kwa Mfanyabiashara...!

...Ijue Mbinu Hii unayofanya Kazi Zaidi Ya 80% Kwenye Mauzo

Mteja akija kwako akaulizia kitu na kukikosa, usiishie kumuambia kwaheri. Muombe namba ya simu, muambie kikija utamtarifu. Au mpe muda fulani, mfano, wiki ijayo utakuletea mzigo mpya karibu...

...Ukishajichukua namba yake ya simu hakikisha kuwa unaisave na anaisave yako...Utajuaje? Mtajie kwanza yako, kisha muombe akubeep. Halafu mtajie jina lako la kusave.

Au akishakutaji mbeep kisha muambie jina lako, yaani kuwa kama unamuangalia ilia save namba yako!

Muambie asave namba kwa biashara yako, kwa mfano, unaitwa Juma unauza Mashati, basi muambie asave “Juma Mashati Kariakoo”...Siku nyingine akiwa na shida ya shati ni rahisi kukukumbuka kuliko kuandika ‘Juma’ tu!

Hata kama siku hiyo hatanunua, hata kama hatarudi tena, lakini kwa kuwa na namba yako moja kwa moja inamaanisha ataona status zako na kujua bidhaa nyingine ambazo unazo.

Digitapreneur

Complex Into Simple

Devan

VITU VITATU MUHIMU KULIKO MUDA UNAOTUMIA KUPOST.

(1) Solve Problems

Je maudhui ambayo unapost yamelenga kukunufaisha wewe au mteja wako? Na je maudhui ambayo unapost yanashawishi mteja kuendelea kukutazama na kukufuatilia?

Ili kuandaa maudhui bora unapaswa kujua changamoto ambazo wateja au watu wanapitia kisha njoo na suluhisho sahihi ambalo ndio njia ya wewe kuuza bidhaa yako au huduma yako.

Watu hawataki bidhaa au huduma yako ila wananunua suluhisho la matatizo Yao.

2) Strong Hook

Baada ya kuwa na heading kali sana basi jambo linalofuata ni kuwa na hook ambayo hii kazi yake kubwa sana ni kuvuta attention ya mteja kutamani kufahamu nini unauza na kuwavutia kununua ili kuelewa hook vizuri lazima uwe umesoma Course ya Copywriting Skills ndio utakuwa mbobevu mzuri zaidi.

Kama utashindwa kuwapa attention wateja au wanaokufuatilia basi hutawapata ama hata hao ulio wapata ipo siku nao watakukimbia

Tumia muda mwingi kuandaa post yenye kuibua hisia za mteja kuliko kukimbilia kupost bila kuwa na attention au strong hook.

Hook ndio humfanya mteja aweze kusoma tangazo lako mpaka mwisho.

Mfano.

Kichwa cha tangazo.

NAMNA YA KUOA BILA KULIPA MAHALI.

HOOK

Nitakupa njia tano zilizonisaidia kuoa bila mahari ila njia ya tano ndio niliyoipenda zaidi.

Mana hapo kisaikolojia kila mtu atatamani kuijua zaidi hiyo ya tano ina nini kumbe ndo ameshausoma ujumbe wako wote kuanzia mwanzo mpaka mwisho.

Hapo nimekupa tu mfano uone namna hook inaibua hisia kwa mteja kutaka kujua zaidi na zipo aina nyingi au mitindo mingi ya kuandika Hook.

3) KEYWORDS

Hapa unapaswa kuwa na maneno ambayo wateja hupenda kuyatumia pindi Wanapo tafuta bidhaa au huduma.

Kikawaida hata wewe kuna namna ukiwa unatafuta bidhaa au huduma fulani ukienda Instagram kuna namna una search majina ambayo unatarajia yatakusaidia wewe kupata wateja.

Mfano ukihitaji Umbea lazima vyovyote utakavyo andika ila utasearch maudaku au mastory hata page maarufu za udaku zinaandikwa fredmaudaku au carrymastory hujawahi kujua kwanini?

Sababu anakupa wepesi wa yeye kumpata hata kama ulikuwa hujamfollow.

Je Umejifunza kitu?

Hello My People Ni mda Mrefu Sana Hatujajuliana Hali Mambo Yalikuwa Mengi Sana na Naimani Kila Mtu Yuko Salama

Tuendelee Kujifunza Tuko Pamoja Kwaanzia Sasa🤝

"If people don't have financial freedom, they don't really have any freedom."

- Lyn Alden

🟠 Opt-out the system with Bitcoin 🚪

🟠 Every bitcoin transaction plotted by date received and date spent ⚡️

Being open may not always feel comfortable at first, but it’s worth being vulnerable. Expressing your thoughts & feelings in a safe space will allow you to blossom. There’s magic in the gentleness and softness of being open. 🫶🏼

LIFE TIPS✅️

I don't care if Im selfish.

After putting people first for the longest time and being disappointed I deserve to do whatever makes me feel happy.

Think Positive™✅️

Be silent

Be silent in two situations.

When someone can't understand your feelings through your words and

When someone can understand everything without any words.

Think Positive™✅️

Great Kaka 💥💥🧡 nostr:note1kzfx2jr2364xls43h4nhrlrz6khtv8nlcdvrf52mcy5eswplkawqfjmv7w

Semler Scientific plans to raise $150M to boost its Bitcoin holdings, following MicroStrategy's lead 📈

📰 https://btctimes.com/semler-scientific-announces-plans-to-raise-150-million-to-purchase-more-bitcoin/

📣 https://x.com/btc/status/1799106016740597814

RECORD: 🟠 18 consecutive days of #Bitcoin ETF inflows totaling $3.87 BILLION❗️